Monday, December 31, 2012

Sunday, December 30, 2012

KWAHERI MWAKA 2012

Jamani wapenzi nillikua nafikiria tufanye kitu katika kuuaga mwaka 2012 kupitia hii blog ningependa kuwakaribisha mtoe comments zenu kuelezea vitu vilivyo wafurahisha na kuwasikitisha katika mwaka huu na pia kusema wasanii  wa bongo na nje ya bongo waliofanya vizuri,walioharibu katika mwaka huu wa 2012. videos,movies,watangazaji waliofunika na walioharibu.hata mapolitician waliofanya vizuri na waliotuingiza mjini karibuni wapendwa wanja ni wenu tufanye hvyo katika kuuga mwaka 2012 na kuukaribisha mwaka 2013. xoxo

Sunday, December 16, 2012

COUPLES WE LOVE

                                                                  myler and abby
                                                                      nancy sumari and luka
                                                              nick minaj and safaree

Thursday, December 13, 2012

GNYT WAPENZIIIIIIIIIIIII


TUBADILIKENI JAMANI




hivi jamani tunaelekea wapi mbona vitendo vya kutupa watoto vimezidi nwdays tatizo ni nini ni wanaume wanakata hizo mimba ama inabidi hii ishu iongezwe kwenye katiba mpya mwanaume hakimpa mtu nyumba anatakia awajibike na akikataa mimba awe anafungwa kisheria maana sasa aina maana umpe mtu mimba then uikatae jamani wasichana na wanawake wenzangu tuache mambo ya kutupa watot yan unakaa na mimba 4 9month afu unajifungua kwa uchungu afu unaenda kutupa hicho kiumbe jamani watu wangaika hawana watoto tubadilike jamani tunapata dhambi kwa Mungu

SHIKA NENO TENDA NENO


Sunday, December 9, 2012

HAPPY 51 INDEPENCE DAY MY FELLOW TANZANIANS

LOVE ME SOME TANZANIA JAMANI MNAONAJE NCHI YETU BAADA YA KUTIMIZA MIAKA 51 YA UHURU TOA MAONI YAKO?/