Monday, February 18, 2013

HIVI UNAWEZA KUPATA MPENZI WA UKWELI KUPITIA SOCIAL NETWORKS

je unaweza kupata mke/mume/mpenzi/mchumba au girlfriend kupitia mitandao ya kijamii??/

MATOKEO YA NECTA FORM 4


mmmh matokeo ya form 4 yametoka kama mlivyoskia ni mabovu hongera kwa walio fanya vizuri na pole kwa waliofeli mkae mjipange jinsi ya kujiendeleza kielimu ila jamani elimu ya tz inaenda wapi maana kila siku matokea yanazidi kua mabaya jamani serikali ni mda wa kukaa chini na kuangalia wapi pana tatizo na kuanza kuyarekebisha maana ni hatari

Thursday, February 14, 2013

COUPLES WE LOVE

                                                       beyonce with jay z
                                                          chris brown an rihanna
keyshia cole an daniel gibson

GET THE LOOK!!@@1!




HAPPY VALENTINES DAY LOVERS

jamani nawapenda sanaa happy valentines day enjoy responsiblly.muahs

Wednesday, February 13, 2013

THEY SHINE BRIGHT LIKE DIAMONDS?@@111




they look sooo in love jamani mmmh mm sisemi kitu zaidi ya wadumishe pendo lao vp nyie wadauzzz???

VALENTINES DAY IS HERE WATS UR PLANS??/?

so wapenzi niliwamisssssssssssssssssssss sanaaaaa an its february  kama mnavyojuAa mwezi wa mapenziiii so mnaplans gani jamani kwa watu wenu mnaowapenda well mm nawapa zawadi hii hapo juuu.muahsss