Thursday, January 1, 2015
Sunday, May 12, 2013
EAST AFRICA SUCCESSFUL WOMEN A.K.A BOSS LADIES#&&MNAWEZA ONGEZA WENU GUYS
Jackie cliff
Huddah monroe
Madam ritha
Mange kimambi
Mwamvita makamba
Joyce kiria
Zari the bosslady
Judith heard
Lady jaydee
Huddah monroe
Madam ritha
Mange kimambi
Mwamvita makamba
Joyce kiria
Zari the bosslady
Judith heard
Lady jaydee
Friday, May 10, 2013
Monday, February 18, 2013
MATOKEO YA NECTA FORM 4
mmmh matokeo ya form 4 yametoka kama mlivyoskia ni mabovu hongera kwa walio fanya vizuri na pole kwa waliofeli mkae mjipange jinsi ya kujiendeleza kielimu ila jamani elimu ya tz inaenda wapi maana kila siku matokea yanazidi kua mabaya jamani serikali ni mda wa kukaa chini na kuangalia wapi pana tatizo na kuanza kuyarekebisha maana ni hatari
Thursday, February 14, 2013
Wednesday, February 13, 2013
VALENTINES DAY IS HERE WATS UR PLANS??/?
so wapenzi niliwamisssssssssssssssssssss sanaaaaa an its february kama mnavyojuAa mwezi wa mapenziiii so mnaplans gani jamani kwa watu wenu mnaowapenda well mm nawapa zawadi hii hapo juuu.muahsss
Saturday, January 5, 2013
HAPPY NEW YEAR WAPENZI
DAH hope am not 2 late jamani Happy new YEAR 2013 Mungu akawatangulie huu mwaka uwe wa mafanikio na baraka tele
Monday, December 31, 2012
Sunday, December 30, 2012
KWAHERI MWAKA 2012
Jamani wapenzi nillikua nafikiria tufanye kitu katika kuuaga mwaka 2012 kupitia hii blog ningependa kuwakaribisha mtoe comments zenu kuelezea vitu vilivyo wafurahisha na kuwasikitisha katika mwaka huu na pia kusema wasanii wa bongo na nje ya bongo waliofanya vizuri,walioharibu katika mwaka huu wa 2012. videos,movies,watangazaji waliofunika na walioharibu.hata mapolitician waliofanya vizuri na waliotuingiza mjini karibuni wapendwa wanja ni wenu tufanye hvyo katika kuuga mwaka 2012 na kuukaribisha mwaka 2013. xoxo
Tuesday, December 25, 2012
Sunday, December 16, 2012
Friday, December 14, 2012
Thursday, December 13, 2012
TUBADILIKENI JAMANI
hivi jamani tunaelekea wapi mbona vitendo vya kutupa watoto vimezidi nwdays tatizo ni nini ni wanaume wanakata hizo mimba ama inabidi hii ishu iongezwe kwenye katiba mpya mwanaume hakimpa mtu nyumba anatakia awajibike na akikataa mimba awe anafungwa kisheria maana sasa aina maana umpe mtu mimba then uikatae jamani wasichana na wanawake wenzangu tuache mambo ya kutupa watot yan unakaa na mimba 4 9month afu unajifungua kwa uchungu afu unaenda kutupa hicho kiumbe jamani watu wangaika hawana watoto tubadilike jamani tunapata dhambi kwa Mungu
Subscribe to:
Posts (Atom)



.jpg)
.jpg)
.jpg)
.jpg)



.jpg)





.jpg)







.jpg)

.jpg)


.jpg)
.jpg)
.jpg)

.jpg)

.jpg)





.jpg)

.jpg)
.jpg)
.jpg)
.jpg)
.jpg)