Thursday, September 20, 2012

MBADILIKE JAMANI

                                                      aunty ezekiel
wema sepetu
seriouslly nyie ni vioo vya jamni kama mnafanya vitu vy ajabu kama hivi mnakua mnafundisha nn sasa mtafanya wasichana wawe wanakatazwa na wazazi wao kujiunga kwenye mambo ya movies mana wataona watoto zao wataenda kuharibikiwa an nyie mna wazazi hawafurahii hvi vitu mnavyofanya tena mbele za watu maana ni ktk fiesta watu ni wengi hvi mnajiskiaje kujidhalilisha hvyo dada zangu.mtakua wake na wamama wa badae watoto wenu watakuja kuona mambo wazazi wao unadhani watajisikiaje behave urself gals jiheshimuni

No comments:

Post a Comment